Jumamosi, 5 Novemba 2016

NTONZO SEKONDARI KWA MAENDELEO BORA YA ELIMU


Mwonekano wa mwanzo wa jengo la utawala

MOTTO: “EDUCATION WITH SCIENCE TO MATCH THE GLOBAL CHANGES”
MKURUGENZI MTENDAJI WA NTONZO SEKONDARI NDUGU MASHAKA MAHINYA ANAPENDA KUWATANGAZIA WADAU WOTE WA ELIMU NA WAPENDA MAENDELEO YA ELIMU KUWA BADO ANAENDELEA KUPOKEA WANAFUNZI WANAOTEGEMEA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA PILI NA CHA TATU KWA MWAKA WA MASOMO 2018-2021, NA MITIHANI YA USAHILI/INTERVIEW INAENDELEA KILA JUMAMOSI YA MWEZI WA 10 HADI MWEZI WA 12 SHULENI NTONZO SEKONDARI.
nembo ya sekondari Ntonzo

NTONZO SECONDARY IMESAJILIWA KWA NAMBA S.4937
SHULE IMESAJILIWA NA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI, TEKNONOLOJIA NA UFUNDI (WESTU) KWA NAMBA S.4937
MAHALI SHULE ILIPO
kibao cha shule ya sekondari ntonzo

Shule ipo barabara kuu iendayo tukuyu (NTANGANO) - Nje kidogo  ya jiji la MBEYA KM 5 kutoka stendi ya Uyole
AINA YA SHULE
NI YA MCHANGANYIKO WA WAVULANA NA WASICHANA, KUTWA NA BWENI NA NI KWA DINI ZOTE.
wanafunzi wakiwa katika jengo la utawala
 
wanafunzi wa sekondari ntonzo
MAZINGIRA
Ni mazuri na ya kuvutia kwa kufundishia na kujifunzia
wanafunzi wakiwa darasani wanasoma


wanafunzi wakiwa nje ya madarasa ntonzo sekondari

wanafunzi wakiwa katika moja ya mazingira ya shule

wanafunzi wakiwa katika mazingira ya shule
pia shule ya sekondari ntonzo ina mabweni ya kisasa ya wavulana na wasichana

bweni la wasichana

bweni la wavulana

HUDUMA MUHIMU; maji,umeme, mawasiliano na barabara.

mwonekano wa mbele wa jengo la utawala Ntozo sekondari



mwonekano wa kati wa shule ya sekondari ntonzo

MCHEPUO
ART (SANAA), SAYANSI NA BIASHARA

MAABARA ZOTE TATU ZIPO NA ZINA VIFAA VYA KUTOSHA


wanafunzi na mwalimu wakifanya jaribio katika maabara ya physics

wanafunzi na mwalimu wakifanya jaribio katika maabara ya biology

wanafunzi wakifanya majaribio katika maabara ya chemistry

mwanafunzi akifanya jaribio katika maabara ya chemistry

(PIA MAKTABA IPO NA INA VITABU VYA KUTOSHA)
baadhi ya vitabu katika maabara




ADA YA SHULE
ADA NI NAFUU SANA AMBAYO MWANANCHI YEYOTE WA KAWAIDA ANAWEZA KUIMUDU NA INALIPWA KWA AWAMU NNE
KUTWA-800,000/=, HOSTEL-1600000/=

JANUARI
APRILI
JULAI
OCTOBA
JUMLA
KUTWA
200,000/=
200,000/=
200,000/=
200,000/=
800,000/=
BWENI
400,000/=
400,000/=
400,000/=
400,000/=
1600000/=
WALIMU
Wapo wenye uzoefu wa masomo yote
walimu na wafanyakazi wengine wa Ntonzo sekondari

MASOMO YANAYOFUNDISHWA SHULENI
Civics, history, geography, Kiswahili, English language, physics, chemistry, biology, basic mathematics, commerce, book keeping, additional mathematics, literature in English and computer
 MAHALI FOMU ZINAPOPATIKANA
FOMU ZA KUJIUNGA NA NTONZO SEKONDARI ZINAPATIKANA MAENEO YAFUATAYO;
  • SHULENI NTONZO SEKONDARI, 
  • ZUNYA ENTERPRISES –UYOLE,
  • STATIONARY KWA MAMA KOMBE- UYOLE
  •  AGRO-SIMEX –SOWETO MBEYA
  • TUNDUMA HOTEL- MOMBA
  • SANTONA GENERAL ENTERPRISES STAND KUU- IRINGA
  • MAHINYA BROTHERS CO.Ltd- SUMBAWANGA
  • MERU SEED.Co.Ltd- MAKAMBAKO


Kwa mawasiliano: 0762 719759
                               0768 504156
                               0767 276864
                               0752645660.
                               0789189459.
Email: info@digicom.co.tz
Website: www.ntonzo.ac.tz

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni